Rikari
Mandhari
Rikari (kwa Kifaransa: Riquier; Ponthieu, leo nchini Ufaransa, 560 hivi - Crécy, 26 Aprili 645 hivi), baada ya kuongokea Ukristo kwa juhudi za wamonaki kutoka Ireland, alikuwa padri aliyefanya umisionari nchini kwao na huko Uingereza[1]. Hatimaye aliishi kama mkaapweke msituni alipoanzisha monasteri [2][3][4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Monks of Ramsgate. "Richarius". Book of Saints, 1921. CatholicSaints.Info. 12 November 2017
- ↑ Jones, Terry. "Saint Richarius of Celles". Patron Saints Index. Iliwekwa mnamo Juni 5, 2010.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Schäfer, Joachim. "Richarius von Centula", Ökumenisches Heiligenlexikon
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/92844
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- (Kiitalia) Carlo Massini, Prima raccolta di vite de' santi per ciaschedun giorno dell'anno con la vita di Gesù Cristo e le feste mobili, vol. 4, Roma, 1819.
- (Kifaransa) Jules Hénocque, Histoire de l'abbaye et de la ville de Saint-Riquier, vol. 1, Amiens, A. Douillet, 1880.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |