Audomari
Mandhari

Audomari (pia: Omer; Coutances, Neustria, leo nchini Ufaransa, 600 hivi[1] - Therouanne, leo nchini Ufaransa, 670 hivi) alikuwa mmonaki mwanafunzi wa Eustasi wa Luxeuil[2], halafu askofu wa Kanisa Katoliki huko Therouanne kuanzia mwaka 637 hivi[3], akijitahidi kurudisha Wakristo kutoka Upagani mamboleo akisaidiwa na Momelini, Ebertramu na Bertino wa Sithieu. [4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Brett, Caroline. "The Hare and the Tortoise? Vita Prima Sanctis Samsonis, Vita Paterni, and Merovingian Hagiography", St Samson of Dol and the Earliest History of Brittany, Cornwall and Wales, (Lynette Olson, ed.), Boydell & Brewer, 2017, p. 91 ISBN 9781783272181
- ↑ O'Boyle, Francis. "St. Omer." The Catholic Encyclopedia. Vol. 11. New York: Robert Appleton Company, 1911. 31 Dec. 2012
- ↑ Yaniv Fox (18 Septemba 2014). Power and Religion in Merovingian Gaul: Columbanian Monasticism and the Formation of the Frankish Aristocracy. Cambridge University Press. ku. 37–38, 128, 279. ISBN 978-1-107-06459-1.
{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/75950
- ↑ Martyrologium Romanum
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |